Register
Login
Home
Home
Home
News Center
Announcements
Tenders & Business
Events
Events Calendar
News Center
News Center
Projects
The Rural Energy Fund
Projects
Projects
Resources
E-Library
Application Forms
LRTC2014 Online Proposal Form
RBF Online Grant Application Form
Resources
Resources
About Us
About REA
Organization Structure
The Rural Energy Board
About Us
About Us
Contact Us
Contact Us
Contact Us
News Center
UFAFANUZI WA REA KUHUSU TAARIFA ZILIZOTOLEWA KWENYE MAGAZETI YA JAMBO LEO NA MWANAHALISI YA IJUMAA TAREHE 15 APRILI 2016, NA HABARI LEO LA JUMAMOSI TAREHE 16 APRILI 2016
Wednesday, April 20, 2016
|
Number of views (9123)
|
Categories:
News
,
Announcements
,
Press Releases
Documents to download
UFAFANUZI WA REA KUHUSU TAARIFA ZILIZOTOLEWA KWENYE MAGAZETI YA JAMBO LEO, MWANAHALISI NA HABARI LEO
Wakala wa Nishati Vijijini unatoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa zilizoandikwa kwenye magazeti ya Jambo Leo na Mwanahalisi ya Ijumaa Tarehe 15 Aprili 2016 pamoja na Gazeti la Habari Leo la Jumamosi Tarehe 16 Aprili 2016.
Tunapenda kuwafahamisha wananchi kuwa Wakala wa Nishati Vijijini haujawahi kuingia mkataba wa kuagiza mashine-umba (Transformers) 200 kutoka TANELEC. Mashine-umba pamoja na vifaa vingine vyote vinavyotumika katika ujenzi wa miundombinu chini ya “Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini wa Awamu ya Pili” vinanunuliwa moja kwa moja na wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo baada ya kupewa zabuni na REA. Kwa kuwa miradi ya usambazaji umeme vijijini ina msamaha wa kodi ambao umetolewa kwa REA; kwa utaratibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), vifaa vinaponunuliwa na mkandarasi ni lazima vioneshwe kuwa ni kwa ajili ya mradi wa REA ili viweze kupata msamaha huo wa kodi uliotolewa kwa miradi inayosimamiwa na REA.
Aidha, REA haijapeleka Mashine-umba za mradi huo unaotajwa kwa TANELEC kwa ajili ya matengenezo kama ilivyoripotiwa kwani wajibu wa kurekebisha hitilafu zozote kwenye vifaa na miundombinu inayojengwa na ambayo bado haijakabidhiwa kwa TANESCO ni la Mkandarasi. Hata baada ya kukabidhi mradi kwa TANESCO, Mkandarasi husika bado anawajibika kurekebisha kuharibika kwa vifaa na miundo-mbinu ya umeme aliyoijenga kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kukabidhi mradi kwa TANESCO kwa mujibu wa mkataba.
Aidha, kampuni ya umeme nchini TANESCO, ambayo ndiyo msimamizi mkuu wa miradi iliyopo chini ya “Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini wa Awamu ya Pili”, inao wajibu wa kusimamia ubora wa vifaa na ujenzi wa miundombinu hiyo ya usambazaji umeme na kuhakikisha kuwa inajengwa kwa viwango vinavyolingana na vile vilivyofafanuliwa kwenye zabuni na mikataba. Hivyo basi; malipo yote yanayofanywa na REA kwenda kwa Wakandarasi wa miradi hiyo yanaidhinishwa na kulipwa pale tu REA inapopokea uthibitisho kutoka TANESCO kuwa kazi imefanyika kulingana na viwango vya ubora vinavyohitajika kulingana na mikataba.
Kuhusiana na masuala ya rushwa kwenye miradi; REA kupitia vyombo vya habari na kampeni za uelimishaji muda wote imesisitiza wananchi kukataa kutoa rushwa kwa ajili ya kuunganishiwa umeme na kuripoti kwenye vyombo vya dola pale wanapoombwa rushwa ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa. REA kupitia vyombo vya habari imekuwa ikitoa maonyo kwa wakandarasi wakubwa na wadogo, wafanyakazi pamoja na vibarua wao kutojihusisha kabisa na masuala ya rushwa.
Imetolewa na:
MKURUGENZI MKUU
WAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA)
20 SAM NUJOMA, 14414
P. O. BOX 7990
DAR-ES-SALAAM.
Documents to download
UFAFANUZI WA REA KUHUSU TAARIFA ZILIZOTOLEWA KWENYE MAGAZETI YA JAMBO LEO, MWANAHALISI NA HABARI LEO
Related articles
Reviewed TEDAP Credit Line On-Lending Interest Rate
RFP: Lighting Rural Tanzania Competition 2012 (LRTC2012)
Orodha ya Miradi ya Umeme Vijijini kwa Mwaka wa Fedha 2013-14
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI: MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013-14
MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Search
Categories
RSS
Expand/Collapse
News
(79)
RSS
Expand/Collapse
Events
(14)
RSS
Expand/Collapse
Announcements
(87)
RSS
Expand/Collapse
Press Releases
(12)
RSS
Expand/Collapse
Reports
(7)
RSS
Expand/Collapse
Speeches
(3)
RSS
Expand/Collapse
Business
(53)
«
January 2021
»
Mon
Tue
Wed
Thu
Fri
Sat
Sun
28
29
30
31
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
1
2
3
4
5
6
7
Archive
2020, December
(3)
2020, November
(1)
2020, October
(1)
2020, September
(2)
2020, August
(4)
2020, May
(2)
2020, April
(1)
2020, January
(2)
2019, November
(3)
2019, October
(2)
2019, September
(2)
2019, August
(1)
2019, July
(3)
2019, June
(3)
2019, May
(1)
2019, April
(1)
2019, March
(1)
2019, February
(2)
2018, December
(2)
2018, November
(1)
2018, August
(1)
2018, June
(2)
2018, May
(3)
2018, April
(3)
2018, March
(3)
2018, February
(1)
2018, January
(1)
2017, December
(1)
2017, November
(2)
2017, October
(2)
2017, July
(4)
2017, June
(4)
2017, May
(4)
2017, April
(9)
2017, March
(1)
2017, February
(2)
2017, January
(1)
2016, December
(1)
2016, November
(2)
2016, October
(2)
2016, September
(2)
2016, August
(5)
2016, July
(3)
2016, June
(1)
2016, May
(2)
2016, April
(1)
2016, March
(3)
2016, February
(3)
2016, January
(5)
2015, December
(1)
2015, October
(3)
2015, August
(2)
2015, July
(1)
2015, March
(2)
2014, December
(1)
2014, October
(1)
2014, August
(1)
2014, May
(2)
2014, April
(2)
2014, January
(1)
2013, December
(1)
2013, October
(1)
2013, August
(3)
2013, July
(2)
2013, June
(2)
2013, May
(6)
2013, April
(1)
2013, January
(1)
2012, December
(1)
2012, September
(1)
2012, May
(1)
2012, March
(1)
2012, January
(2)
2011, December
(1)