The Rural Energy Agency is issuing the September 2021 Magazine for Energizing Rural Transformation in Tanzania.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wanakuletea JARIDA linalokupa habari namna Nishati inavyochochea Maendeleo ya kiuchumi na kijamii vijijini nchini Tanzania. Hili ni Toleo la Mwezi Septemba 2021.
Rural Energy Agency (REA) invites renewable mini- and micro grid Project Developers to submit applications for financing and other support from Renewable Energy Investment Facility (REIF) to support accelerated access to sustainable energy services in unserved rural areas of mainland Tanzania.
The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOTS 5 and 9.
The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOT 1, 27, 28, 32 and 39.
Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Medard Kalemani amesema kipaumbele cha Serikali katika kusambaza nishati vijijini ni kupeleka umeme katika vitongoji.
The REA Strategic Plan for 2016/17 - 2020/21 responds to the Sustainable Development Goals; Sustainable Energy for All; National Electrification Investment Prospectus; Energy Sector Reform Strategy; Tanzania Development Vision 2025; Second National Five-Year Development Plan; and the National Energy Policy, 2015.
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imefanya ziara ya siku moja katika Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere uliopo Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo ambao ukikamilika utawezesha upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini.