Ulifanyika Katika Kijiji cha Kwedizinga, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga
8/15/2016
Lengo kuu la Mradi wa TREEP ni kuongeza upatikanaji wa umeme vijijini kwa kuongeza miundombinu ya usambazaji wa umeme pamoja na miundombinu ya uzalishaji hasa wa nishati jadidifu vijijini.
8/11/2016
Lengo la tovuti hiyo ni kutoa taarifa ambazo zitawawezesha waendelezaji wa miradi ya nishati bora vijijini, wawekezaji mbalimbali pamoja na wadau wengine kupata taarifa sahihi ambazo zitachangia katika kuongeza wigo wa usambazaji na upatikanaji wa nishati bora vijijini.
Yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Lindi Katika Viwanja vya Ngongo
8/1/2016 - 8/8/2016
Katika maonesho hayo, Wakala ulipata fursa ya kuelezea mpango wake wa kusambaza umeme vijijini na kuonesha picha za wanufaika wa miradi ya REA katika mikoa ya Lindi na Mtwara pamoja na mikoa mingine (video documentary) na kusikiliza kero na maoni ya wananchi kuhusu miradi ya kusambaza nishati bora vijijini.
The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the Rural Energy Agency during the Financial Year 2015/16. It is intended that some of the funds will be used to cover eligible payments under the contract for Provision of Various Consulting Services.
The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the Rural Energy Agency during the Financial Year 2015/16. It is intended that some of the funds will be used to cover eligible payments under the contract for Consulting Services for Preparation of Rural Energy Master Plan.
Serikali kupitia Wakala na Mfuko wa Nishati Vijijini (REA/REF) inafadhili miradi ya kusambaza umeme vijijini katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Miradi ya Awamu ya Pili ya Usambazaji Umeme Vijijini inatekelezwa na wakandarasi kutoka sekta binafsi ambao uhusika na ujenzi wa miundombinu.
REA is inviting applications form dynamic, energetic and proactive Tanzanians with appropriate prerequisite qualifications, technical skills, competences and experience to fill the vacant position.
REA is inviting applications form dynamic, energetic and proactive Tanzanians with appropriate prerequisite qualifications, technical skills, competences and experience to fill the vacant position.