Register
Login
Home
Home
Home
News Center
Announcements
Tenders & Business
Events
Events Calendar
News Center
News Center
Projects
The Rural Energy Fund
Projects
Projects
Resources
E-Library
Application Forms
LRTC2014 Online Proposal Form
RBF Online Grant Application Form
Resources
Resources
About Us
About REA
Organization Structure
The Rural Energy Board
About Us
About Us
Contact Us
Contact Us
Contact Us
News Center
Tenders & Business
UFAFANUZI KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA KATIKA GAZETI LA JAMHURI TOLEO NA. 295 LA TAREHE 23 – 29 MEI, 2017
Tuesday, May 23, 2017
|
Number of views (4346)
|
Categories:
Announcements
,
Press Releases
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatoa ufafanuzi kuhusu habari iliyochapishwa katika gazeti la Jamhuri Toleo Na. 295 la tarehe 23 – 29 Mei, 2017 yenye kichwa cha habari “ Waziri apiga dili” ununuzi wa zabuni ya wakandarasi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwamba ulizingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 (kama ilivyofanyiwa marekebisho Mwaka 2016) pamoja na kanuni zake.
READ MORE
TAARIFA KWA WAKANDARASI WALIOSHINDA ZABUNI ZA KUTEKELEZA MRADI KABAMBE WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU
Tuesday, May 16, 2017
|
Number of views (2903)
|
Categories:
News
,
Press Releases
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umekamilisha taratibu za zabuni kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (Turnkey III) na unawajulisha Wakandarasi walioshinda kwamba hatua inayofuata ni kupewa barua za tuzo (Award Letters) na kusaini mikataba.
READ MORE
UTEKELEZAJI WA MRADI KABAMBE WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU (TURNKEY III) WAANZA
Thursday, February 9, 2017
|
Number of views (11372)
|
Categories:
Announcements
,
Press Releases
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeanza utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Awamu ya Tatu utakaojumuisha vijiji 7,873 katika wilaya na mikoa yote ya Tanzania Bara. Kati ya vijiji hivyo, vijiji 7,697 vitapelekewa umeme wa gridi na vijiji 176 umeme wa nje ya gridi (off-grid).
READ MORE
UFAFANUZI WA REA KUHUSU TAARIFA ZILIZOTOLEWA KWENYE MAGAZETI YA JAMBO LEO NA MWANAHALISI YA IJUMAA TAREHE 15 APRILI 2016, NA...
Wednesday, April 20, 2016
|
Number of views (4483)
|
Categories:
News
,
Announcements
,
Press Releases
Wakala wa Nishati Vijijini unatoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa zilizoandikwa kwenye magazeti ya Jambo Leo na Mwanahalisi ya Ijumaa Tarehe 15 Aprili 2016 pamoja na Gazeti la Habari Leo la Jumamosi Tarehe 16 Aprili 2016.
READ MORE
KIKAO CHA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF. SOSPETER MUHONGO NA WAKANDARASI WANAOTEKELEZA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI...
Monday, March 21, 2016
|
Number of views (3957)
|
Categories:
News
,
Announcements
,
Press Releases
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo (MB) ameandaa kikao cha siku tatu kwa ajili ya kukutana na wakandarasi wakubwa (Main Contractors) na wakandarasi wadogo (Sub-Contractors) wanaotekeleza miradi ya kusambaza umeme vijijini Awamu ya Pili tarehe 29 hadi 31 Machi, 2016.
READ MORE
RSS
1
2
Search
Categories
RSS
Expand/Collapse
News
(49)
RSS
Expand/Collapse
Events
(3)
RSS
Expand/Collapse
Announcements
(64)
RSS
Expand/Collapse
Press Releases
(9)
RSS
Expand/Collapse
Reports
(6)
RSS
Expand/Collapse
Speeches
(1)
RSS
Expand/Collapse
Business
(45)
«
February 2019
»
Mon
Tue
Wed
Thu
Fri
Sat
Sun
28
29
30
31
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Archive
2019, February
(1)
2018, December
(2)
2018, November
(1)
2018, August
(1)
2018, June
(2)
2017, November
(1)
2017, October
(1)
2017, May
(2)
2017, February
(1)
2016, November
(2)
2016, October
(1)
2016, September
(1)
2016, August
(2)
2016, July
(3)
2016, June
(1)
2016, May
(1)
2016, March
(1)
2016, February
(2)
2016, January
(2)
2015, October
(2)
2015, August
(1)
2014, December
(1)
2014, October
(1)
2014, May
(2)
2014, April
(2)
2013, August
(2)
2013, May
(2)
2012, December
(1)
2012, September
(1)
2012, May
(1)
2012, March
(1)
2012, January
(2)