Register
Login
Home
News Center
Announcements
Tenders & Business
Events
Events Calendar
Projects
The Rural Energy Fund
Resources
E-Library
Application Forms
LRTC2014 Online Proposal Form
RBF Online Grant Application Form
About Us
About REA
Organization Structure
The Rural Energy Board
Contact Us
News Center
Events
Events
Failed to load licensing components. Please Repair / Re-Install Dixit . DO NOT UNINSTALL MODULE!
KIPAUMBELE CHA SERIKALI KATIKA KUSAMBAZA NISHATI VIJIJINI NI KUPELEKA UMEME KATIKA VITONGOJI
Monday, December 14, 2020
|
Number of views (3612)
|
Categories:
News
,
Events
Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Medard Kalemani amesema kipaumbele cha Serikali katika kusambaza nishati vijijini ni kupeleka umeme katika vitongoji.
Waziri Kalemani alisema hayo tarehe 11 Disemba 2020 katika ukumbi wa mikutano wa PSSF uliopo jijini Dodoma wakati akiongea na Menejimenti za Wizara ya Nishati na Taasisi zake. “Tunahitaji kupeleka umeme katika vitongoji vyote, siku hizi watu hawaulizi tena vijiji. Vitongoji viwe kipaumbele sasa” alisema.
Aidha, Mhe Waziri wa Nishati aliwapongeza REA kwa kazi nzuri ya kusambaza umeme vijijini na kuwataka wailinde imani ambayo wamepewa na wananchi kwa kuchapa kazi kwa kasi, ubunifu na usahihi. “Tunawapongeza mmefanya kazi nzuri sana, kupeleka umeme vijijini ni sacrifice, unapeleka nguzo 100 unapata wateja wanne, lakini baada ya miezi sita wateja wanaongezeka. Lazima tukubaliane kufanya kazi mara dufu ya miaka mitano iliyopita na kwa kushirikiana”, alisema.
Naye Naibu Waziri, Mhe. Stephen Byabato alisisitiza ushirikiano katika kazi na kutoa elimu kwa umma kuhusu mafanikio ya miradi inayotekelezwa na Serikali.
Baada ya kukutana na Menejimenti za Wizara ya Nishati, Waziri wa Nishati pamoja na Naibu wake walikutana na Bodi za Wakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ambapo katika kikao hicho, Mhe. Waziri aliagiza kila taasisi iwasilishe mpango ambao unaainisha vipaumbele, changamoto pamoja na ufumbuzi wake.
Aidha, Mhe. Waziri wa Nishati alizitaka Bodi hizo kusimamia mpango kazi huo na kuwachukulia hatua watumishi ambao hawatimizi wajibu wao.
Akipokea maagizo hayo, Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo aliahidi kutoa ushirikiano kwa Waziri na Naibu wake na kuwa watahakikisha maelekezo waliyotoa yanatekelezwa.
Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la PSSSF, Ghorofa ya 7
Barabara ya Makole
S. L. P 2153
Dodoma, Tanzania
Barua pepe: info@rea.go.tz
Simu: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507
Please
login
or
register
to post comments.
Search
Categories
RSS
Expand/Collapse
News
(101)
RSS
Expand/Collapse
Events
(26)
RSS
Expand/Collapse
Announcements
(95)
RSS
Expand/Collapse
Press Releases
(12)
RSS
Expand/Collapse
Reports
(9)
RSS
Expand/Collapse
Speeches
(3)
RSS
Expand/Collapse
Business
(61)
«
February 2023
»
Mon
Tue
Wed
Thu
Fri
Sat
Sun
30
31
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
Archive
2022, June
(1)
2022, May
(4)
2022, February
(1)
2021, December
(3)
2021, November
(1)
2021, September
(2)
2020, December
(1)
2020, November
(1)
2020, October
(1)
2020, September
(1)
2020, August
(4)
2020, May
(1)
2019, June
(1)
2019, April
(1)
2017, April
(1)
2016, October
(1)
2016, September
(1)
2016, August
(3)
2014, October
(1)
2013, July
(1)