Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu Ameteuliwa Kuwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB)
Announcements

Raisi Avunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini REA, Leo Tarehe 25 Septemba 2023

Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu Ameteuliwa Kuwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassam amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), na kumteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi Mpya ya Nishati Vijijini (REB) ambayo inasimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), leo tarehe 25 Septemba 2023.

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati
News

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 1, 2023 amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni (Agosti 30, 2023) kushika nyadhifa mbalimbali akiwemo Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu (Uratibu wa Shughuli za Serikali) na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Judith Kapinga kwa nafasi ya Naibu Waziri wa Nishati.

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara
News

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na changamoto ya kupata umeme mdogo na wenye kukatika mara kwa mara.

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023
News

NISHATI YA KUPIKIA NI SEHEMU YA VIPAUMBELE VYA KITAIFA

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023

Mkurugenzi wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Mhandisi, Francis Songela amesema Serikali kupitia REA imetoa kipaumbele kwenye kuongeza matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia na kuongeza kuwa Wananchi wanapaswa kuchangamkia teknolojia mbalimbali kwa kuwa suala hilo lipo kwa ajili ya kulinda afya za Watu, kuboresha maisha yao hususan kwa Wananchi wa vijijini.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati
News

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson akitembelea maonesho ya Wiki ya Nishati, tarehe 30 Mei 2023 katika Viwanja vya Bunge ambapo aliongozwa na mwenyeji wake, Waziri wa Nishati Mhe. January Y. Makamba katika kufahamu utekelezaji wa shughuli za Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha unaokwisha (2022/23) na Mipango iliyopo kwa Mwaka wa Fedha unaoanza (2023/24).

RSS
1345678910Last
«December 2023»
MonTueWedThuFriSatSun
27282930123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
1234567

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
PSSSF Building, 7th Floor
Makole Road
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top