Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Wakandarasi Kamilisheni Miradi Kwa Wakati – Mkurugenzi Mkuu REA
Frank A. Mugogo 254

Wakandarasi Kamilisheni Miradi Kwa Wakati – Mkurugenzi Mkuu REA

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewaagiza wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya kusambaza umeme vijijini kukamilisha kazi kwa muda waliopewa kwa mujibu wa mikataba.

Agizo hilo amelitoa leo tarehe 04 Januari, 2024 wilayani Korogwe akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili mkoa wa Tanga.

"Wanaochelewesha miradi wanawazuia wananchi kupata huduma kwa wakati kwa sababu hiyo hakuna nyongeza ya muda itakayotolewa kwa wakandarasi ambao watachelewa kukamilisha Miradi", alisema.

Aidha, Mhandisi Saidy aliwataka Wananchi kulinda miundombinu ya umeme na wakati huo huo ametoa wito kwa wananchi kutumia nishati ya umeme  kuboresha vipato vyao.

Mkurugenzi Mkuu wa REA yupo mkoani Tanga kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa usambazaji nishati ya umeme katika vijiji vya wilaya ya Korogwe mkoani humo.

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la PSSSF, Ghorofa ya 7
Barabara ya Makole
S. L. P 2153
Dodoma, Tanzania
Barua pepe: info@rea.go.tz

Simu: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507

Rate article

5.0
Rate this article:
5.0

Share

Print
«July 2024»
MonTueWedThuFriSatSun
24252627282930
1234
National Clean Cooking Strategy (2024 – 2034)

National Clean Cooking Strategy (2024 – 2034)

The Government of the United Republic of Tanzania, in collaboration with various stakeholders has prepared the National Clean Cooking Strategy. The strategy aims to ensure that 80 percent of Tanzanians use clean cooking solutions by the year 2034.

Read more
567
891011121314
15161718192021
Vijiji 151 Vimebaki Nchi Nzima Kupata Huduma ya Umeme – Kapinga

Vijiji 151 Vimebaki Nchi Nzima Kupata Huduma ya Umeme – Kapinga

Ni vijiji 151 tu nchi nzima ndio ambavyo bado havijafikiwa na huduma ya umeme kati ya Vijiji zaidi ya 12,000 ambapo wilayani Ludewa mkoani Njombe vimebaki Vijiji nane.

Read more
22232425262728
2930311234

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
PSSSF Building, 7th Floor
Makole Road
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top