Hotuba ya Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), akiwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2013/14.
Orodha miradi ya awamu ya pili ya mradi kabambe wa kusambaza umeme vijijini ambayo inategemewa kupata ufadhili wa mfuko wa nishati vijijini kwa mwaka wa fedha 2013/14.