December 8 News Kitakuwa na uwezo wa MVA 20 na kitasaidia wananchi Kilombero, Ulanga na Malinyi Mkurugenzi Mkuu wa REA Akagua Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupozea Umeme Ifakara Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy amekagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupozea umeme cha Ifakara.
June 3 Speeches Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2022/23 Hotuba ya Waziri wa Nishati Mhe. January Y. Makamba Katika Bunge la Bajeti 2022/23 Waziri wa Nishati Mhe. January Y. Makamba akiwasilisha bungeni leo, Tarehe 2 Juni, 2022 bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2022/23.
June 2 News REA na Wabia wa Maendeleo wakagua utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Wananchi wa Kata ya Mabogini waishukuru Serikali kwa Kupata Umeme News, Events Wananchi wa Kata ya Mabogini iliyopo katika Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro wameshukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wabia wa Maendeleo wanaofadhili miradi ya kusambaza nishati vijijini kwa kufikishiwa huduma ya nsihati ya umeme katika vijiji na vitongoji vyao.
May 31 Events Zaidi ya Shilingi Trilioni 4 zimetolewa hadi sasa Wabia wa Maendeleo Waahidi Kuendelea Kushirikiana na Serikali Kutekeleza Miradi ya REA Kusambaza Nishati Vijijini News, Events Serikali na Wabia wa Maendeleo (EDPG) wamechangia zaidi ya Shilingi Trilioni 4 katika miradi ya nishati vijijini inayotekelezwa na REA.
May 24 Events Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atembelea Maonesho ya Wizara ya Nishati News, Events Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amewashauri Waheshimiwa Wabunge kutumia fursa ya Maonesho ya majukumu ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake yanayoendelea katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kupata taarifa za utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini katika maeneo yao.
May 6 News REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI News, Events Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Milembe.
May 5 News REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI News, Events Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Milembe.
February 21 Tenders Extended Deadline for Grant Application for Renewable Energy Project Preparation Support Facility (PPSF) up to 2nd April 2022 The Agency hereby extends the deadline for applications from Renewable Energy Small Power Producer (SPP) and Mini-Grid Project Developers for financial assistance from the PPSF up to 2nd April 2022.