October 6 News Aipongeza kwa Kutekeleza Majukumu Yake Kwa Weledi Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya REA Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu Akutana na Menejimenti Announcements, News, Events Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Nishati Vijijini, Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu amefanya mkutano wa kwanza na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
June 2 News REA na Wabia wa Maendeleo wakagua utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Wananchi wa Kata ya Mabogini waishukuru Serikali kwa Kupata Umeme News, Events Wananchi wa Kata ya Mabogini iliyopo katika Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro wameshukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wabia wa Maendeleo wanaofadhili miradi ya kusambaza nishati vijijini kwa kufikishiwa huduma ya nsihati ya umeme katika vijiji na vitongoji vyao.
May 31 Events Zaidi ya Shilingi Trilioni 4 zimetolewa hadi sasa Wabia wa Maendeleo Waahidi Kuendelea Kushirikiana na Serikali Kutekeleza Miradi ya REA Kusambaza Nishati Vijijini News, Events Serikali na Wabia wa Maendeleo (EDPG) wamechangia zaidi ya Shilingi Trilioni 4 katika miradi ya nishati vijijini inayotekelezwa na REA.
May 24 Events Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Atembelea Maonesho ya Wizara ya Nishati News, Events Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amewashauri Waheshimiwa Wabunge kutumia fursa ya Maonesho ya majukumu ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake yanayoendelea katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kupata taarifa za utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini katika maeneo yao.
May 6 News REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI News, Events Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Milembe.
May 5 News REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI News, Events Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Milembe.
February 1 Events BODI YA REA YAAGWA NA KUTUNUKIWA TUZO KWA UTUMISHI WENYE TIJA News, Events Bodi ya Nishati Vijijini (REB) inayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imehitimisha muda wake kisheria na kupongezwa kwa kutekeleza majukumu yake kwa juhudi, weledi, uadilifu na uzalendo.
December 27 Events MPANGO KABAMBE UPELEKAJI NISHATI VIJIJINI WABAINISHWA News, Events Imeelezwa kuwa Mpango Kabambe wa Kupeleka Nishati Vijijini umelenga kuwanufaisha wananchi kupitia usambazaji umeme pamoja na nishati bora ya kupikia.