Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati
News

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 1, 2023 amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni (Agosti 30, 2023) kushika nyadhifa mbalimbali akiwemo Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu (Uratibu wa Shughuli za Serikali) na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Judith Kapinga kwa nafasi ya Naibu Waziri wa Nishati.

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara
News

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na changamoto ya kupata umeme mdogo na wenye kukatika mara kwa mara.

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023
News

NISHATI YA KUPIKIA NI SEHEMU YA VIPAUMBELE VYA KITAIFA

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023

Mkurugenzi wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Mhandisi, Francis Songela amesema Serikali kupitia REA imetoa kipaumbele kwenye kuongeza matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia na kuongeza kuwa Wananchi wanapaswa kuchangamkia teknolojia mbalimbali kwa kuwa suala hilo lipo kwa ajili ya kulinda afya za Watu, kuboresha maisha yao hususan kwa Wananchi wa vijijini.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati
News

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson akitembelea maonesho ya Wiki ya Nishati, tarehe 30 Mei 2023 katika Viwanja vya Bunge ambapo aliongozwa na mwenyeji wake, Waziri wa Nishati Mhe. January Y. Makamba katika kufahamu utekelezaji wa shughuli za Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha unaokwisha (2022/23) na Mipango iliyopo kwa Mwaka wa Fedha unaoanza (2023/24).

Wananchi wa Kata ya Mabogini waishukuru Serikali kwa Kupata Umeme
News

REA na Wabia wa Maendeleo wakagua utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu

Wananchi wa Kata ya Mabogini waishukuru Serikali kwa Kupata Umeme

Wananchi wa Kata ya Mabogini iliyopo katika Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro wameshukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wabia wa Maendeleo wanaofadhili miradi ya kusambaza nishati vijijini kwa kufikishiwa huduma ya nsihati ya umeme katika vijiji na vitongoji vyao.

RSS
1345678910Last
«September 2023»
MonTueWedThuFriSatSun
282930
REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na changamoto ya kupata umeme mdogo na wenye kukatika mara kwa mara.

Read more
311
Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 1, 2023 amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni (Agosti 30, 2023) kushika nyadhifa mbalimbali akiwemo Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu (Uratibu wa Shughuli za Serikali) na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Judith Kapinga kwa nafasi ya Naibu Waziri wa Nishati.

Read more
23
45678910
11121314151617
18192021222324
2526272829301
2345678

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
PSSSF Building, 7th Floor
Makole Road
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top