Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Semina ya Fursa za Uwekezaji Katika Sekta ya Nishati Nchini
Events

Imeandaliwa na Ubalozi wa Norway Nchini Tanzania

Semina ya Fursa za Uwekezaji Katika Sekta ya Nishati Nchini

9/20/2016

Ubalozi wa Norway nchini umeandaa semina ya siku moja iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam tarehe 20 Septemba, 2016 kwa ajili kuelezea fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati nchini. Semina hiyo ilihudhuriwa na washiriki kutoka makampuni 14 kutoka Norway na wadau wengine mbalimbali.
RSS
1234
«May 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
27282930123
45678
Wakandarasi Wanaotekeleza Miradi Ya REA Watakiwa Kumaliza Miradi Kwa Wakati

Wakandarasi Wanaotekeleza Miradi Ya REA Watakiwa Kumaliza Miradi Kwa Wakati

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu, leo tarehe 8 Mei, 2026 imefanya kikao na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya kupeleka umeme vijijini katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha wanaosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kupata taarifa ya utekelezani wa miradi hiyo.

Read more
910
11121314151617
181920212223
REA na Shirika la Mzinga Kushirikiana Kuendeleza Teknolojia Za Nishati Safi ya Kupikia

REA na Shirika la Mzinga Kushirikiana Kuendeleza Teknolojia Za Nishati Safi ya Kupikia

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha ushirikiano katika Utafiti, Teknolojia, Uzalishaji na Usambazaji wa nishati safi ya kupikia.

Read more
24
25262728293031
1234567

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top