Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini Kufanikisha Azma ya Serikali Kujenga Uchumi wa Viwanda
Admin.Frank Mugogo 6349

Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini Kufanikisha Azma ya Serikali Kujenga Uchumi wa Viwanda

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo amesema miradi ya kusambaza umeme vijijini inayotekelezwa katika wilaya na mikoa yote Tanzania Bara itafanikisha azma ya Serikali ya kufikia uchumi wa kati kupitia sekta ya viwanda ifikapo Mwaka 2025.

Wakili Kalolo alisema hayo wakati wa ziara ya Bodi hiyo katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SABASABA) yaliyofanyika kuanzia tarehe 28/06/2018 hadi 13/07/2019 jijini Dar es Salaam na kusisitiza kuwa, Bodi ya Nishati Vijijini itasimamia utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini ili kuhakikisha kuwa lengo la Serikali linafikiwa.

Aidha, Mwenyekiti huyo wa Bodi ya Nishati Vijijini alihimiza kuwa wananchi waanzishe viwanda vidogo vidogo vya kusindika mazao ya mimea, mifugo na uvuvi pamoja na viwanda vingine katika maeneo ambayo tayari yamepelekewa huduma ya umeme na kusema kuwa, huduma ya umeme itafikishwa katika kila Kijiji Tanzania Bara ifikapo Mwaka 2021.

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la LAPF, Ghorofa ya 7
S. L. P 2153
Dodoma, Tanzania

Barua pepe: info@rea.go.tz
Simu: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507

Share

Print
«October 2024»
MonTueWedThuFriSatSun
301
REA Kushiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Morogoro

REA Kushiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Morogoro

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) itashiriki katika Maonesho ya Samia KILIMO Biashara Expo 2024 kwa msimu wa tatu yanayotarajiwa kuanza tarehe 6 Oktoba, 2024 wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro. 

Read more
23456
78910
Bukombe Waunga Mkono Jitihada za Rais Samia Kuhusu Nishati Safi ya Kupikia

Bukombe Waunga Mkono Jitihada za Rais Samia Kuhusu Nishati Safi ya Kupikia

Wananchi kote Nchini wametakiwa kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kutumia Nishati Safi ya Kupikia ili kuimarisha afya zao sambamba na kutunza mazingira.

Read more
111213
14151617181920
21222324252627
28293031123
45678910

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
PSSSF Building, 7th Floor
Makole Road
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top