RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AMEMTEUA WAKILI JULIUS B. KALOLO KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dr. John Pombe Magufuli amemteua Wakili Julius B. Kalolo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini.
Hii ni baada ya Mheshimiwa Rais kutengua uteuzi wa Bw. Michael Pius Nyagoga kuanzia tarehe 17 Juni, 2019.
Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la LAPF, Ghorofa ya 7
S. L. P 2153
Dodoma, Tanzania
Barua pepe: info@rea.go.tz
Simu: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507