Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI
Admin.Frank Mugogo 473

REA WAADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kupanda miti zaidi ya 2000 katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili ya Milembe.

Akizungumza wakati wa zoezi la upandaji wa miti hiyo lililofanyika tarehe 4 Mei 2022 katika viwanja vya Hospitali ya Milembe ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Mazingira, Mhe. Shekimweri alisema kuwa ni wajibu wa wadau wote kuhakikisha miti hiyo inaota vizuri na kuwa itachangia kuweka mandhari nzuri inayoweza kuvutia utalii wa mazingira.

Aidha, Kaimu Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Masoko na Teknolojia wa REA, Mhandisi Advera Mwijage alihimiza utunzaji wa mazingira ili kuendelea kutunza vyanzo vya maji na kuweza kupata mvua za kutosha.

Naye Mkuu wa Idara ya Mazingira ya Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro alisema kuwa Dodoma ya Kijani inawezekana kwa kuendelea kupanda miti na kuitunza ili iote na alitoa wito kwa wakazi wa Dodoma kupanda miti ya kivuli pamoja nay a matunda kwa ajili ya kutunza mazingira.

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la PSSSF, Ghorofa ya 7
Barabara ya Makole
S. L. P 2153
Dodoma, Tanzania
Barua pepe: info@rea.go.tz

Simu: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507

Rate article

No rating
Rate this article:
No rating

Share

Print
«July 2024»
MonTueWedThuFriSatSun
24252627282930
1234
National Clean Cooking Strategy (2024 – 2034)

National Clean Cooking Strategy (2024 – 2034)

The Government of the United Republic of Tanzania, in collaboration with various stakeholders has prepared the National Clean Cooking Strategy. The strategy aims to ensure that 80 percent of Tanzanians use clean cooking solutions by the year 2034.

Read more
567
891011121314
15161718192021
Vijiji 151 Vimebaki Nchi Nzima Kupata Huduma ya Umeme – Kapinga

Vijiji 151 Vimebaki Nchi Nzima Kupata Huduma ya Umeme – Kapinga

Ni vijiji 151 tu nchi nzima ndio ambavyo bado havijafikiwa na huduma ya umeme kati ya Vijiji zaidi ya 12,000 ambapo wilayani Ludewa mkoani Njombe vimebaki Vijiji nane.

Read more
22232425262728
2930311234

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
PSSSF Building, 7th Floor
Makole Road
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top