Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close

FAIDA YA GESI ASILIA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

Gesi asilia iligunduliwa kwa mara ya kwanza hapa nchini Mwaka 1974 kwenye Kisiwa cha Songo Songo, Mkoani Lindi. Ugunduzi mwingine umefanyiaka katika maeneo ya Mtwara Vijijini (Mnazi Bay, 1982 na Ntorya, 2012), Mkuranga (Pwani, 2007) na Kiliwani (Lindi, 2008). Kiasi cha gesi asilia iliyogunduliwa katika maeneo haya inakadiriwa kuwa futi za ujazo trilioni 8. Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kumekuwa na kasi kubwa ya utafutaji mafuta na gesi asilia uliojikita zaidi kwenye maji ya kina kirefu cha bahari. Kiasi cha gesi asilia iliyogunduliwa katika kina kirefu cha maji ni takribani futi za ujazo trilioni 33.7. Jumla ya gesi asilia iliyogunduliwa nchi kavu na baharini inafikia takribani futi za ujazo trilioni 41.7.
Tenders

Call For Reviews: SREP Tanzania Investment Plan

The Government of Tanzania through the Ministry of Energy and Minerals and its energy related institutions, assisted by the Multilateral Development Banks (MDBs) has prepared a draft Investment Plan (IP) which will be used as a proposal to source funds from Scaling Up Renewable Energy Program (SREP) that will enable Tanzania to move towards low gas emission developments.
NORWAY YAISAIDIA TANZANIA SHILINGI BILIONI 200 KWA AJILI YA UMEME VIJIJINI
News

NORWAY YAISAIDIA TANZANIA SHILINGI BILIONI 200 KWA AJILI YA UMEME VIJIJINI

Serikali ya Tanzania imekamilisha makubaliano ya fedha za msaada wa Krona milioni 700, sawa na shilingi bilioni 200 za Tanzania, kutoka Serikali ya Norway, kwa ajili ya kupeleka umeme vijijini. Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo alisaini mkataba wenye makubaliano hayo, Aprili 9, 2013 Mjini Oslo Norway akiiwakilisha Serikali ya Tanzania, ambapo Serikali ya Norway iliwakilishwa na Waziri wake wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa, Bw. Heikki Holmas.
Tenders

TENDER №: AE/008/2012 - 13/HQ/G/21

The Government of Tanzania has set aside funds for the operation of the REA during the Financial Year 2012/13. It is intended that part of the funds will be used to cover eligible payments under the contract for Supply and Installation of Distribution Substations (11/33kV), Medium Voltage Lines, Transformers and Connection of Customers in Unelectrified District Headquarters and other Rural Areas in Tanzania on Turnkey Basis.
Tenders

GENERAL PROCUREMENT NOTICE (GPN) FOR 2012/2013 FINANCIAL YEAR

The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operations of the Rural Energy Agency during the Financial Year 2012/2013. The Rural Energy Agency is now issuing the General Procurement Notice in accordance with the requirements of Public Procurement Act 2004 and its Regulations, 2005 for the purpose of informing Bidders, Suppliers, Service Providers and General Public on tender opportunities during Financial Year 2012/2013 as shown here.
Tenders

RFP: DEVELOPMENT OF BUSINESS MODELS TO SCALE-UP APPLICATION OF RENEWABLE ENERGY

The Government of Tanzania has received funds from the World Bank under the TEDAP Off-grid Component. It is intended that part of the funds will be used to cover eligible payments in terms of Matching and Performance Grants for supply, installation and operation of solar PV, small Wind Turbines, hybrid systems, micro and mini-hydropower Plants to supply electricity to isolated rural areas in Mainland Tanzania.
RSS
1234
«December 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
242526
Rais Samia Atoa Ruzuku ya Kufanya  Wiring Miradi ya Umeme Vijijini

Rais Samia Atoa Ruzuku ya Kufanya Wiring Miradi ya Umeme Vijijini

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaanza kutekeleza mradi wa kutandaza nyaya za umeme (wiring) kwa wananchi kupitia miradi ya kusambaza umeme inayotekelezwa na wakala kote nchini.

Read more
27282930
123
Hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya Nishati Safi

Hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya Nishati Safi

Karibu katika Hafla ya Kusaini Mikataba ya Kufunga Miundombinu ya Nishati Safi katika Shule za Sekondari 52 pamoja na Chuo cha VETA.

Read more
45
Shule za Sekondari 52; Chuo cha VETA Kufungiwa Miundombinu ya Nishati Safi

Shule za Sekondari 52; Chuo cha VETA Kufungiwa Miundombinu ya Nishati Safi

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini.

Read more
67
891011121314
1516
Mkurugenzi Mkuu REA Awafunda Watumishi

Mkurugenzi Mkuu REA Awafunda Watumishi

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka watumishi kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na maarifa ili kuleta tija katika kuwatumikia wananchi.

Read more
1718192021
22232425262728
2930311234

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top