Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
MHANDISI HASSAN SEIF SAIDY ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MKUU WA REA
Aodax K. Nshala 2274

MHANDISI HASSAN SEIF SAIDY ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MKUU WA REA

Tarehe 25 Septemba 2021, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Jaffar Haniu alitoa taarifa kwa umma ikieleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).

Taarifa hiyo ilibainisha kuwa uteuzi wa Mhandisi Said, ambaye awali alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO, umeanza tarehe 23 Septemba, 2021.

REA inatoa pongezi za dhati kwa Mhandisi Said kwa kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kuiongoza REA. Tunaahidi kumpatia ushirikiano katika kazi yake ili azma ya Serikali ya kuwapatia wananchi wote nishati bora na ya uhakika iendelee kutekelezwa.

Aidha, tunamshukuru Mtangulizi wake, Mhandisi Amos William Maganga, kwa utumishi wake katika kuiongoza sekta husika katika kipindi chote alichotumikia kama Mkurugenzi Mkuu wa REA.

Karibu sana Mhandisi Hassan Seif Said na asante kwa utumishi wako Mhandisi Amos William Maganga. Kazi iendelee…

Share

Print

Documents to download

«April 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
311234
CALL FOR PROPOSAL - Supply and Installation of Clean Cooking Solutions to Households, Public and Private Institutions

CALL FOR PROPOSAL - Supply and Installation of Clean Cooking Solutions to Households, Public and Private Institutions

The Rural Energy Agency issue the Second Call for applications from qualified suppliers to Supply and install Clean Cooking Solutions to Households, Public and Private Institutions through on-call basis.

Read more
56
789
Sector Performance Reports for Financial Year 2023-24

Sector Performance Reports for Financial Year 2023-24

Please find the attached Sector Performance Reports for Financial Year 2023-24:

Read more
10111213
14
Wabia wa Maendeleo Waahidi Kuendelea Kushirikiana na Serikali ya Tanzania Kuboresha Maisha ya Wananchi

Wabia wa Maendeleo Waahidi Kuendelea Kushirikiana na Serikali ya Tanzania Kuboresha Maisha ya Wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego amuopengeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi kubwa ya kufikisha umeme vijijini hali iliyobadili maisha ya wananchi vijijini.

Read more
151617181920
21222324252627
2829301234
567891011

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top