REA News ni chapisho la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) linaloonesha matokeo kwenye jamii yanayotokana na matumizi sahihi ya nishati bora katika kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi. REA inawezesha utekelezaji wa miradi ya nishati bora vijijini Tanzania Bara ambayo inaboresha huduma za jamii katika nyanja za elimu, afya, kilimo na nyinginezo.
Upatikanaji wa nishati bora vijijini huongeza ajira na kuongeza kipato kwa wajasiriamali.
Imetolewa na:
MKURUGENZI MKUU
WAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA)
20 SAM NUJOMA, 14414
P. O. BOX 7990
DAR-ES-SALAAM.