Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Naibu Waziri Nishati Atembelea Banda la REA
Mohamed Saif 109

Naibu Waziri Nishati Atembelea Banda la REA

Naibu Waziri Wizara ya Nishati, Mhe. Salome Makamba ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii maeneo ya vijijini kupitia Usambazaji wa Umeme na  Teknolojia zilizoboreshwa za Nishati Safi ya Kupikia.

Ametoa pongezi hizo Aprili 22, 2026 alipofanya ziara kwenye banda la REA katika Maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 na kuzungumza na watendaji.

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ni miongoni mwa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati ambayo inashiriki katika Maonesho hayo kwa lengo la kutoa elimu na taarifa za utekelezaji wa Miradi ya Usambazaji wa Nishati kwa Wabunge na wageni wa Bunge wanaotembelea Banda la Maonesho.

Share

Print
«July 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
293012345
6789101112
131415
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wananchi Vitongojini

Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wananchi Vitongojini

Serikali imedhamiria kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini kupitia usambazaji wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wananchi wamehimizwa kuchangamkia kuunganishiwa umeme kwenye vitongoji vilivyofikiwa.

Read more
16171819
20212223242526
272829303112
3456789

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top