Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Naibu Waziri Nishati Atembelea Banda la REA
Mohamed Saif 79

Naibu Waziri Nishati Atembelea Banda la REA

Naibu Waziri Wizara ya Nishati, Mhe. Salome Makamba ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii maeneo ya vijijini kupitia Usambazaji wa Umeme na  Teknolojia zilizoboreshwa za Nishati Safi ya Kupikia.

Ametoa pongezi hizo Aprili 22, 2026 alipofanya ziara kwenye banda la REA katika Maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 na kuzungumza na watendaji.

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ni miongoni mwa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati ambayo inashiriki katika Maonesho hayo kwa lengo la kutoa elimu na taarifa za utekelezaji wa Miradi ya Usambazaji wa Nishati kwa Wabunge na wageni wa Bunge wanaotembelea Banda la Maonesho.

Share

Print
«June 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
25262728293031
12
Bodi, Menejimenti REA Wabadilishana Uzoefu Na Ujumbe Kutoka Algeria

Bodi, Menejimenti REA Wabadilishana Uzoefu Na Ujumbe Kutoka Algeria

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekutana na kufanya mazungumko na ujumbe kutoka nchini Algeria ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GISB Electric ambaye pia ni Makamu wa rais wa Kongani ya Viwanda vya Umeme Algeria (CIEL), Dk. Khelifa Mohammed.

Read more
34567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293012345

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top