Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
REA Imeleta Mageuzi Sekta Ya Nishati
Mohamed Saif 112

REA Imeleta Mageuzi Sekta Ya Nishati

Mkurugenzi Mkuu REA apongezwa

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii maeneo ya Vijijini kupitia miradi ya Usambazaji Umeme na uhamasishaji na uwezeshaji wa Teknolojia zilizoboreshwa za Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi kote nchini.

Hayo yameelezwa Aprili 23, 2026 na Mbunge wa Sikonge ambaye pia aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhe. Mha. Amos Maganga.

"Ninawapongeza sana REA, mnafanya kazi kubwa, miradi mliyotekeleza kote nchini imechagiza ukuaji wa uchumi Vijijini lakini pia imeboresha huduma za Jamii katika maeneo hayo," amebainisha Maganga.

Amesema kwa sasa hakuna tofauti kati ya vijiji na miji kwani kupitia miradi iliyotekelezwa na REA huduma muhimu ikiwemo za afya na elimu kote zinapatikana kwa ubora sawa.

Aidha, wakizungumza kwa nyakati tofauti, Wabunge waliotembelea Banda la REA walimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Hassan Saidy kwa uongozi wake ambao walisema umeleta chachu kwenye utekelezaji wa miradi.

Share

Print
«June 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
25262728293031
12
Bodi, Menejimenti REA Wabadilishana Uzoefu Na Ujumbe Kutoka Algeria

Bodi, Menejimenti REA Wabadilishana Uzoefu Na Ujumbe Kutoka Algeria

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekutana na kufanya mazungumko na ujumbe kutoka nchini Algeria ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GISB Electric ambaye pia ni Makamu wa rais wa Kongani ya Viwanda vya Umeme Algeria (CIEL), Dk. Khelifa Mohammed.

Read more
34567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293012345

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top