Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
REA Imeleta Mageuzi Sekta Ya Nishati
Mohamed Saif 149

REA Imeleta Mageuzi Sekta Ya Nishati

Mkurugenzi Mkuu REA apongezwa

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii maeneo ya Vijijini kupitia miradi ya Usambazaji Umeme na uhamasishaji na uwezeshaji wa Teknolojia zilizoboreshwa za Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi kote nchini.

Hayo yameelezwa Aprili 23, 2026 na Mbunge wa Sikonge ambaye pia aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhe. Mha. Amos Maganga.

"Ninawapongeza sana REA, mnafanya kazi kubwa, miradi mliyotekeleza kote nchini imechagiza ukuaji wa uchumi Vijijini lakini pia imeboresha huduma za Jamii katika maeneo hayo," amebainisha Maganga.

Amesema kwa sasa hakuna tofauti kati ya vijiji na miji kwani kupitia miradi iliyotekelezwa na REA huduma muhimu ikiwemo za afya na elimu kote zinapatikana kwa ubora sawa.

Aidha, wakizungumza kwa nyakati tofauti, Wabunge waliotembelea Banda la REA walimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Hassan Saidy kwa uongozi wake ambao walisema umeleta chachu kwenye utekelezaji wa miradi.

Share

Print
«July 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
293012345
6789101112
131415
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wananchi Vitongojini

Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wananchi Vitongojini

Serikali imedhamiria kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini kupitia usambazaji wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wananchi wamehimizwa kuchangamkia kuunganishiwa umeme kwenye vitongoji vilivyofikiwa.

Read more
16171819
20212223242526
272829303112
3456789

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top