Thursday, June 15, 2017 Admin.Frank Mugogo 6619 Announcements TAARIFA KWA WAKANDARASI / NOTICE TO CONTRACTORS MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI / RURAL ELECTRIFICATION PROJECTS KISWAHILI Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatambua kuwa baadhi ya wakandarasi wanaotekeleza miradi ya kusambaza umeme vijijini hawajakamilisha miradi kwa mujibu wa MIKATABA waliyosaini na Wakala (REA). Aidha, kuna baadhi ya wakandarasi wamekamilisha miradi lakini hawajakabidhi rasmi miradi hiyo na vifaa au hawajafanya marekebisho kasoro zilizobainishwa na wasimamizi wa miradi kutoka (TANESCO na REA). Kwa tangazo hili, Wakala unawataarifu wakandarasi wote ambao hawajakamilisha matakwa hayo ya kimikataba kufanya hivyo mara moja. Wakandarasi watakaoshindwa kutimiza masharti hayo hawataruhusiwa kushiriki katika zabuni zitakazotangazwa na Wakala (REA) baada ya TANGAZO hili na hatua nyingine zitachukuliwa juu yao kwa mujibu wa mikataba hiyo. ENGLISH The Rural Energy Agency (REA) has noted that some of the contractors engaged in the rural electrification projects have not completed their projects and handed over materials to TANESCO respective regions accordingly. The contractors have not also finalised rectification of snags as instructed by REA and TANESCO supervisors. In view of the above, REA hereby informs all contractors who have not fulfilled the above obligations to do so immediately. All contractors who have not fulfilled these obligations WILL NOT BE ALLOWED TO PARTICIPATE in the forthcoming TENDERS to be advertised by the Agency. Director General Rural Energy Agency (REA) Mawasiliano Towers, 2nd Floor Sam Nujoma Road, 14414 P. O. Box 7990 Dar es Salaam, Tanzania E-Mail: info@rea.go.tz Tel: +255 22 2412001, +255 22 2412002, +255 22 2412003 Fax: +255 22 2412007 Tags Announcements Share Print Documents to download NOTICE TO CONTRACTORS PARTICIPATING IN RURAL ELECTRIFICATION PROJECTS(.pdf, 55.07 KB) - 168 download(s) TAARIFA KWA WAKANDARASI WANAOTEKELEZA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI(.pdf, 42.85 KB) - 285 download(s) Switch article INVITATION FOR TENDER - SUPPLY OF SOLAR PV SYSTEMS FOR PRACTICAL TRAINING TO ARTISANS AND TECHNICIANS IN MARA, SIMIYU AND TABORA REGIONS Previous Article MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KITAIFA YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA , BUTIAMA, MKOA WA MARA Next Article