Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Viongozi REA Wala Kiapo cha Ahadi ya Uadilifu
Frank A. Mugogo 497

Viongozi REA Wala Kiapo cha Ahadi ya Uadilifu

Wajumbe wa Menejimenti wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekula kiapo cha Uadilifu wa Uongozi wa Umma kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi na Uongozi wa Umma.

Wamekula kiapo hicho Jijini Dodoma Machi 11, 2025 mbele ya Afisa Maadili Sekretarieti ya Maadili ya Utumishi wa Umma, Kanda ya Kati, Bi Deborah Mwanjali katika Ofisi za REA.

Akifafanua lengo la kiapo hicho, Mwanjali amesema ni kuhakikisha kiongozi wa watumishi wa umma anakiri kwa dhamira yake kuishi katika mienendo ya kiuadilifu katika utumishi wa umma kama sheria zinavyomtaka.

Alisema kiapo hicho hufanyika pale kiongozi anapoteuliwa katika nafasi mpya, kiongozi anapohama kutoka taasisi moja kwenda nyingine.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini
Jengo la REA
28 Mtaa wa Medeli
Dodoma
 

Share

Print
«December 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
242526
Rais Samia Atoa Ruzuku ya Kufanya  Wiring Miradi ya Umeme Vijijini

Rais Samia Atoa Ruzuku ya Kufanya Wiring Miradi ya Umeme Vijijini

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaanza kutekeleza mradi wa kutandaza nyaya za umeme (wiring) kwa wananchi kupitia miradi ya kusambaza umeme inayotekelezwa na wakala kote nchini.

Read more
27282930
123
Hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya Nishati Safi

Hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya Nishati Safi

Karibu katika Hafla ya Kusaini Mikataba ya Kufunga Miundombinu ya Nishati Safi katika Shule za Sekondari 52 pamoja na Chuo cha VETA.

Read more
45
Shule za Sekondari 52; Chuo cha VETA Kufungiwa Miundombinu ya Nishati Safi

Shule za Sekondari 52; Chuo cha VETA Kufungiwa Miundombinu ya Nishati Safi

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini.

Read more
67
891011121314
1516
Mkurugenzi Mkuu REA Awafunda Watumishi

Mkurugenzi Mkuu REA Awafunda Watumishi

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka watumishi kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na maarifa ili kuleta tija katika kuwatumikia wananchi.

Read more
1718192021
22232425262728
2930311234

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top