July 16 Announcements KONGAMANO LA “BIG RESULTS NOW” MIRADI MIKUBWA YA NISHATI YATAJWA Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, ametaja miradi ya kipaumbele itakayotoa matokeo ya haraka ifikapo 2015/2016, na kunufaisha wananchi katika mikoa mbalimbali nchini. Prof. Muhongo aliitaja miradi hiyo mikubwa jijini Dar es Salaam mbele ya wadau waliokusanyika katika kongamano la wazi la siku moja kwa lengo la kukusanya maoni kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo.
June 28 Announcements SMART PARTNERSHIP INTERNATIONAL DIALOGUE Announcements Watanzania tujitokeze kumuunga mkono Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano utakaofanyika Dar es Salaam kuanzia tarehe 28 Juni, 2013 hadi 01 Julai, 2013 maarufu kama SMART PARTNERSHIP INTERNATIONAL DIALOGUE.
June 28 Announcements MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI Announcements Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (Mbunge), anawaalika wadau wote wa Sekta ya Nishati na Madini kote nchini kwenye kongamano la wazi litakalofanyika siku ya Jumatano Julai 3, 2013 kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge Jijini Dar es Salaam, kuanzia saa 3.00 asubuhi hadi saa 11.00 jioni.
May 25 Speeches HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI: MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013-14 Announcements, Reports, Speeches Hotuba ya Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), akiwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2013/14.
May 25 Reports Orodha ya Miradi ya Umeme Vijijini kwa Mwaka wa Fedha 2013-14 Announcements, Reports Orodha miradi ya awamu ya pili ya mradi kabambe wa kusambaza umeme vijijini ambayo inategemewa kupata ufadhili wa mfuko wa nishati vijijini kwa mwaka wa fedha 2013/14.
May 8 Tenders Call For Reviews: SREP Tanzania Investment Plan The Government of Tanzania through the Ministry of Energy and Minerals and its energy related institutions, assisted by the Multilateral Development Banks (MDBs) has prepared a draft Investment Plan (IP) which will be used as a proposal to source funds from Scaling Up Renewable Energy Program (SREP) that will enable Tanzania to move towards low gas emission developments.
September 7 Tenders GENERAL PROCUREMENT NOTICE (GPN) FOR 2012/2013 FINANCIAL YEAR Announcements, Business The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operations of the Rural Energy Agency during the Financial Year 2012/2013. The Rural Energy Agency is now issuing the General Procurement Notice in accordance with the requirements of Public Procurement Act 2004 and its Regulations, 2005 for the purpose of informing Bidders, Suppliers, Service Providers and General Public on tender opportunities during Financial Year 2012/2013 as shown here.
March 11 Tenders RFP: Lighting Rural Tanzania Competition 2012 (LRTC2012) Announcements, Business Lighting Rural Tanzania Competition 2012 (LRTC2012) is a competitive grant program that aims at supporting private enterprises in developing and delivering a wide array of modern lighting products for rural households and businesses. Lighting Rural Tanzania Competition builds upon the base of lighting technologies that exist today, seeking market solutions to provide an array of products with the quality, applications, cost, and configurations needed by the low income market segment.