Invitation for Tender No: AE/008/2017-18/HQ/G/39
The Rural Energy Agency now invites applications for tender for Supply and Installation of Medium and Low Voltage line; distribution transformers and Customer Connections for Rural Electrification of Peri-Urban Areas of Pwani Region and Kigamboni District.
The Rural Energy Agency is now issuing the General Procurement Notice to inform Bidders, Suppliers, Service Providers and General Public on tender opportunities during Financial Year 2017/18.
MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI / RURAL ELECTRIFICATION PROJECTS
Wakandarasi ambao hawajakamilisha wajibu wao hawataruhusiwa kushiriki katika zabuni zitakazotangazwa na Wakala.
Contractors who have not fulfilled their obligations will not be allowed to participate in the forthcoming tenders to be advertised by the Agency.
The Rural Energy Agency (REA) invites sealed bids from eligible suppliers registered as Class Three Solar Contractor or above for Supply of Solar PV Systems for Practical Training to Artisans and Technicians in Mara, Simiyu, and Tabora Regions.
INVITATION FOR EXPRESSION OF INTEREST
United Republic of Tanzania has received grant from the European Union (EU) to supervise construction of 220/33 kV substation at Ifakara and 70km of distribution power lines in Kilombero and Ulanga Districts - Morogoro region.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatoa ufafanuzi kuhusu habari iliyochapishwa katika gazeti la Jamhuri Toleo Na. 295 la tarehe 23 – 29 Mei, 2017 yenye kichwa cha habari “ Waziri apiga dili” ununuzi wa zabuni ya wakandarasi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwamba ulizingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 (kama ilivyofanyiwa marekebisho Mwaka 2016) pamoja na kanuni zake.
Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), Waziri wa Nishati na Madini, amemteua Mwenyekiti na Wajumbe Wapya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kutokana na Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu Nambari 5(1) (b) Nambari 8(3) cha Sheria ya Nishati Vijijini ya Mwaka 2005.
Wakala wa Nishati Vijiji (REA), kwa kipindi cha robo ya mwisho (Aprili – Juni) ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 umepanga kutoa mafunzo kwa mafundi na waendelezaji wa vyanzo vya umeme unaozalishwa kutokana na raslimali za nishati jadidifu katika kila mkoa Tanzania Bara.