WAZIRI WA NISHATI MHE. DKT. MEDARD MATOGOLO CHANANJA KALEMANI (MB.) AMEWASILISHA BUNGENI LEO, TAREHE 28 MEI, 2019 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2019/20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, tarehe 06/04/2019 amezindua Mradi wa kusafirisha umeme wa kilovolti 220 kutoka Makambako hadi Songea. Jumla ya wateja wa awali 22,700 wanatarajiwa kuunganishiwa na huduma ya umeme kupitia Mradi huu kwenye vijiji 122.
Balozi wa Norway nchini Tanzania, Ms. Elisabeth Jacobsen ametembelea Ofisi za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Wakala tarehe 28 Februari, 2019.
Waziri wa Nishati, Mh. Dk. Medard Kalemani amezindua Bodi ya Nishati Vijijini (REB), leo tarehe 18 Februari, 2019 itakayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutoa maelekezo mbalimbali yatakayopelekea kazi ya usambazaji umeme vijijini kufanyika kwa kasi na ufanisi.
A team of consultants carried out evaluation of REA projects by travelling to all the project sites and conducted interviews under evaluation, observations and verification of the outcomes and impacts of more than 42 energy projects implemented and completed during this time by the Agency.
The Rural Energy Agency is inviting applications from Renewable Energy Mini-Grid Project Developers for financial assistance from the Tier 1 Renewable Energy Project Development Facility (REPDF). Please note that USE MICROSOFT EDGE as a supported browser to download the forms.
TANZANIA MINI-GRID RENEWABLE ENERGY PROJECT
In support of its Mini-Grid Renewable Energy Project, the Rural Energy Agency developed a Template Financial Model to enhance the possibility of small Renewable Energy generation and mini-grid projects to be developed and executed successfully. Please note that USE MICROSOFT EDGE as a supported browser to download the forms.
Renewable Energy Project Development Facility (REPDF)
The Rural Energy Agency is now inviting applications from Consultants to be registered on the Renewable Energy Project Development Facility (REPDF). Please note that USE MICROSOFT EDGE as a supported browser to download the forms.