Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeanza utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Awamu ya Tatu utakaojumuisha vijiji 7,873 katika wilaya na mikoa yote ya Tanzania Bara. Kati ya vijiji hivyo, vijiji 7,697 vitapelekewa umeme wa gridi na vijiji 176 umeme wa nje ya gridi (off-grid).
The United Republic of Tanzania has received a grant from the Sustainable Energy Fund for Africa (SEFA) administrated by the African Development Bank to finance the establishment of the Renewable Energy Investment Facility.
The Rural Energy Board, at its Board Meeting held on 17th December 2016, and pursuant to Section 25 of the Rural Energy Act, 2005 has appointed Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga to the position of the Director General of the Rural Energy Agency (REA) and Chief Executive Officer of the Rural Energy Fund (REF).
The Rural Energy Agency invites eligible “individual consultants” to indicate their interest in carrying out the assignments for provision of various individual consulting services.
The Rural Energy Agency now invites eligible consulting firms to express interests in providing the Technical Assistance (TA) to implement “off-grid” renewable energy (RE) rural electrification programs.
This is to inform all interested firms in this Tender and the general public that the deadline for submission of Applications for Prequalification for the aforementioned tender has been extended from 30th August, 2016 to 14th September at 1200 hours.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Awamu ya Tatu wa kusambaza nishati vijijini utakaojumuisha vijiji 7,873 katika wilaya na mikoa yote ya Tanzania Bara ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kuanzia Mwaka wa fedha 2016/17.
The Rural Energy Agency invites interested applicants to apply for pre-qualification for Supply and Installation of Medium and Low Voltage Lines, Distribution Transformers and Connection of Customers in Un-electrified Rural areas of Mainland Tanzania on Turnkey Basis - Turnkey Phase III Projects.