Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati
Frank A. Mugogo 204

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Juma Sweda  anayemuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Anthony Mtaka, leo Machi 15, 2025 amefanya mazungumzo mafupi na viongozi kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO). 

Katika kikao hicho, Wizara ya Nishati iliongozwa na Mha. Ahmed Chinemba aliyemuwakilisha Kamishna wa Umeme Tanzania, Mha.Jones Olotu ambae ni Mkurugenzi wa Umeme Vijijini aliongoza timu ya Wakala wa Nishati Vijijini na TANESCO iliongozwa na Mha.Leo Mwakatobe ambae ni Meneja wa Mkoa Njombe. 

Mazungumzo hayo yamelenga matayarisho ya ziara ya kupokea wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, ambayo itafanya ziara ya siku 4 katika Mkoa wa Njombe kuangalia maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini
Jengo la REA
28 Mtaa wa Medeli
Dodoma

Share

Print
«August 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
28293031123
45
Call for Proposal for Deployment of Stand-Alone Solar Home Systems (SA-SHS) in Remote Villages in Geita, Ludewa and Mbulu Districts

Call for Proposal for Deployment of Stand-Alone Solar Home Systems (SA-SHS) in Remote Villages in Geita, Ludewa and Mbulu Districts

The Rural Energy Agency (REA) is seeking proposals from qualified service providers for the supply, installation, and testing of Stand-Alone Solar Home Systems (SA-SHS) in eight remote villages across Geita, Ludewa and Mbulu districts. Those villages are located in remote areas with challenging geographical conditions, hence, impractical for grid extension.

Please find the attached documents:

•    Application Form for Supply and Installation of SA-SHS; and
•    Call for Proposals for Result Based Financing Installation of Stand Alone Solar Home Systems.

Read more
678910
111213
Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele

Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele

Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku.

Read more
1415
Viongozi wa Dini Mabalozi Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Viongozi wa Dini Mabalozi Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa viongozi wa dini nchini kushiriki kikamilifu katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa lengo la kulinda afya na kuokoa mazingira.

Read more
1617
181920
Nishati Safi ya Kupikia Suluhu ya Mabadiliko ya Tabia Nchi

Nishati Safi ya Kupikia Suluhu ya Mabadiliko ya Tabia Nchi

Watanzania wameendelea kuhamasishwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Read more
21222324
25262728293031
1234567

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top