Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati
Frank A. Mugogo 63

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Juma Sweda  anayemuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Anthony Mtaka, leo Machi 15, 2025 amefanya mazungumzo mafupi na viongozi kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO). 

Katika kikao hicho, Wizara ya Nishati iliongozwa na Mha. Ahmed Chinemba aliyemuwakilisha Kamishna wa Umeme Tanzania, Mha.Jones Olotu ambae ni Mkurugenzi wa Umeme Vijijini aliongoza timu ya Wakala wa Nishati Vijijini na TANESCO iliongozwa na Mha.Leo Mwakatobe ambae ni Meneja wa Mkoa Njombe. 

Mazungumzo hayo yamelenga matayarisho ya ziara ya kupokea wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, ambayo itafanya ziara ya siku 4 katika Mkoa wa Njombe kuangalia maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini
Jengo la REA
28 Mtaa wa Medeli
Dodoma

Share

Print
«March 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
242526272812
3456
Arusha Wavutiwa na Bidhaa za Nishati Safi ya Kupikia

Arusha Wavutiwa na Bidhaa za Nishati Safi ya Kupikia

Wananchi Jijini Arusha wamevutiwa na bidhaa mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na wameipongeza Serikali kwa kuona umuhimu wa kufikisha bidhaa hizo katika Maonesho yanayoendelea mkoani humo kuelekea Siku ya Wanawake Duniani.

Read more
789
10
Watumishi Wanawake REA Washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Jijini Arusha

Watumishi Wanawake REA Washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Jijini Arusha

Watumishi Wanawake wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wameshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Arusha Machi 8, 2025.

Read more
111213141516
171819
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Yahitimisha Ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Umeme Mkoani Njombe

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Yahitimisha Ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Umeme Mkoani Njombe

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekamilisha ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi ya Nishati Vijijini (REA) inayotekelezwa na serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kwa upande wa REA ziara hiyo imehitimishwa katika kijiji cha Welela, Jimbo la Lupembe, ambapo kamati hiyo imepongeza juhudi zinazofanywa na Serikali kuhakikisha umeme unawafikia wananchi wa vijijini kwa kasi inayostahili.

Read more
20212223
24252627282930
31123456

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top