Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati
Frank A. Mugogo 614

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Akutana na Wataalam Kutoka Wizara ya Nishati

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Juma Sweda  anayemuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Anthony Mtaka, leo Machi 15, 2025 amefanya mazungumzo mafupi na viongozi kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO). 

Katika kikao hicho, Wizara ya Nishati iliongozwa na Mha. Ahmed Chinemba aliyemuwakilisha Kamishna wa Umeme Tanzania, Mha.Jones Olotu ambae ni Mkurugenzi wa Umeme Vijijini aliongoza timu ya Wakala wa Nishati Vijijini na TANESCO iliongozwa na Mha.Leo Mwakatobe ambae ni Meneja wa Mkoa Njombe. 

Mazungumzo hayo yamelenga matayarisho ya ziara ya kupokea wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, ambayo itafanya ziara ya siku 4 katika Mkoa wa Njombe kuangalia maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini
Jengo la REA
28 Mtaa wa Medeli
Dodoma

Share

Print
«May 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
27282930123
45678
Wakandarasi Wanaotekeleza Miradi Ya REA Watakiwa Kumaliza Miradi Kwa Wakati

Wakandarasi Wanaotekeleza Miradi Ya REA Watakiwa Kumaliza Miradi Kwa Wakati

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu, leo tarehe 8 Mei, 2026 imefanya kikao na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya kupeleka umeme vijijini katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha wanaosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kupata taarifa ya utekelezani wa miradi hiyo.

Read more
910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
1234567

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top