Eng. Gissima B. Nyamo-Hanga, the Director General of Rural Energy Agency (REA - Tanzania) emerged the BEST DELEGATE in the Sub Saharan Africa Power Summit 2017 #SSAPOW17 hosted by Vale Media Group.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Simiyu, uzinduzi ulifanyika tarehe 14/07/2017 katika kijiji cha Nangale, Kata ya Ndolelezi, Wilaya ya Itilima.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Mwanza, uzinduzi ulifanyika tarehe 13/07/2017 katika kijiji cha Nyamatala, Kata ya Ngula, Wilaya ya Kwimba.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Geita, uzinduzi ulifanyika tarehe 12/07/2017 katika kijiji cha Nyijundu, Kata ya Nyijundu, Wilaya ya Nyang’wale.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Kagera, uzinduzi ulifanyika tarehe 11/07/2017 katika kijiji cha Rwabigaga, Kata ya Kamuli, Wilaya ya Kyerwa.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Manyara uliofanyika tarehe 24/06/2017 katika kijiji cha Luxmanda, Kata ya Secheda, Wilaya ya Babati Vijijini.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati vijijini (REA), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga aliongoza ujumbe wa viongozi wa Wakala kutembelea Wilaya ya Kilolo, Mkoa wa Iringa ili kutathmini matokeo chanya yaliyotokana na utekelezwaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini.
Tarehe 5 Juni 2017, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Ulishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika Kijiji cha Butiama, Mkoa wa Mara. Wakala ulipata fursa ya kuonesha mpango wake wa kusambaza umeme vijijini.