The Rural Energy Agency (REA) announces time-extension for submission of applications for financing support from Renewable Energy Investment Facility (REIF) up to 10th September 2021, at 11:00am.
Rural Energy Agency (REA) invites renewable mini- and micro grid Project Developers to submit applications for financing and other support from Renewable Energy Investment Facility (REIF) to support accelerated access to sustainable energy services in unserved rural areas of mainland Tanzania.
The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOTS 5 and 9.
The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOT 1, 27, 28, 32 and 39.
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) katika kikao kilichofanyika Desemba 20, 2020 imemteua Mhandisi Amos William Maganga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuanzia tarehe 16 Desemba 2020 kwa mujibu wa kifungu cha 25(1) cha Sheria Namba 8 ya Nishati Vijijini ya Mwaka 2005.
Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Medard Kalemani amesema kipaumbele cha Serikali katika kusambaza nishati vijijini ni kupeleka umeme katika vitongoji.
The REA Strategic Plan for 2016/17 - 2020/21 responds to the Sustainable Development Goals; Sustainable Energy for All; National Electrification Investment Prospectus; Energy Sector Reform Strategy; Tanzania Development Vision 2025; Second National Five-Year Development Plan; and the National Energy Policy, 2015.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amewataka Wabia wa Maendeleo kuendelea kuchangia Mfuko wa Nishati Vijijini (REF) ili kuwezesha usambazaji wa nishati vijijini kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa maisha ya wananchi wa vijijini.