May 25 Speeches HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI: MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013-14 Announcements, Reports, Speeches Hotuba ya Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), akiwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2013/14.
May 25 Reports Orodha ya Miradi ya Umeme Vijijini kwa Mwaka wa Fedha 2013-14 Announcements, Reports Orodha miradi ya awamu ya pili ya mradi kabambe wa kusambaza umeme vijijini ambayo inategemewa kupata ufadhili wa mfuko wa nishati vijijini kwa mwaka wa fedha 2013/14.