June 24 News REA Zambia Yapongeza Ubora Wa Miradi Ya Umeme Vijijini Tanzania Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
June 2 News Bodi, Menejimenti REA Wabadilishana Uzoefu Na Ujumbe Kutoka Algeria Bodi ya Nishati Vijijini (REB) pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekutana na kufanya mazungumko na ujumbe kutoka nchini Algeria ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GISB Electric ambaye pia ni Makamu wa rais wa Kongani ya Viwanda vya Umeme Algeria (CIEL), Dk. Khelifa Mohammed.
May 23 News REA na Shirika la Mzinga Kushirikiana Kuendeleza Teknolojia Za Nishati Safi ya Kupikia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha ushirikiano katika Utafiti, Teknolojia, Uzalishaji na Usambazaji wa nishati safi ya kupikia.
May 19 News Mwenyekiti wa Bodi ya REA asema Asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia 2034 inawezekana Magereza Morogoro Yanufaika Na Mapinduzi Ya Nishati Safi Ya Kupikia
May 19 News Mkurugenzi Mkuu REA Atoa Wito Kwa Watumishi Kuendelea Kutekeleza Majukumu Yao Kwa Weledi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewanasihi watumishi wa wakala kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa kufuata miongozo ya utumishi wa umma kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zilizopo.
May 13 News Vijana Maeneo Ya Mradi Wa Umeme Kwenye Vitongoji Kupewa Kipaumbele Kwenye Ajira Mwenyekiti Bodi Ya REA Atoa Wito Kwa Wananchi Kulinda Miundombinu Ya Umeme