The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOTS 5 and 9.
The Rural Energy Agency is issuing a notice for re-tendering Tender No. AE/008/2020-21/HQ/W/31 LOT 1, 27, 28, 32 and 39.
Evaluation Report of the outcomes and impacts of the REA funded projects in Tanzania since its inception in 2007.
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) katika kikao kilichofanyika Desemba 20, 2020 imemteua Mhandisi Amos William Maganga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuanzia tarehe 16 Desemba 2020 kwa mujibu wa kifungu cha 25(1) cha Sheria Namba 8 ya Nishati Vijijini ya Mwaka 2005.
Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Medard Kalemani amesema kipaumbele cha Serikali katika kusambaza nishati vijijini ni kupeleka umeme katika vitongoji.
The REA Strategic Plan for 2016/17 - 2020/21 responds to the Sustainable Development Goals; Sustainable Energy for All; National Electrification Investment Prospectus; Energy Sector Reform Strategy; Tanzania Development Vision 2025; Second National Five-Year Development Plan; and the National Energy Policy, 2015.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amewataka Wabia wa Maendeleo kuendelea kuchangia Mfuko wa Nishati Vijijini (REF) ili kuwezesha usambazaji wa nishati vijijini kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa maisha ya wananchi wa vijijini.
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imefanya ziara ya siku moja katika Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere uliopo Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo ambao ukikamilika utawezesha upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini.