August 29 Events BODI YA NISHATI VIJIJINI HAIJARIDHISHWA NA KAZI YA MKANDARASI MKOA WA SINGIDA News, Events Bodi ya Nishati Vijijini (REB) haijaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijijini katika Wilaya ya Iramba na Mkalama mkoani Singida unayotekelezwa na Kampuni ya Emerc and Dynamic Engineering.
August 27 Events SUMA JKT WAPONGEZWA KWA KUJENGA MIUNDOMBINU YA KUSAMBAZA UMEME News, Events Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo amekipongeza kikosi cha Suma JKT ambacho kimepewa kazi kujenga miundombinu ya kusambaza umeme katika kata ya Kwa Mtoro na Farkwa.
August 10 Announcements REA YAIBUKA NA USHINDI MAONESHO YA NANENANE MWAKA 2020 MKOANI SIMIYU Announcements, News, Events Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeibuka na ushindi wa pili katika kundi la Wakala wa Serikali katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu.
August 9 Announcements MWENYEKITI WA BODI YA NISHATI VIJIJINI ATOA WITO KUHUSU ULINZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME VIJIJINI Announcements, News, Events Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa vijiji kulinda miundombinu ya usambazaji wa umeme katika vijiji vyao ili kuepusha hasara ambayo Serikali inapata kutokana na uharibifu wa miundombinu hiyo.
May 29 Reports ENERGY ACCESS AND USE SITUATION SURVEY IN TANZANIA MAINLAND – APRIL 2020 Reports Energy Access and Use Situation Second Survey 2019/20 has been conducted by the Ministry of Energy through Rural Energy Agency (REA). It provides statistical information on the access and use of energy situation in Tanzania Mainland.
May 8 Speeches HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI MHE. DKT. MEDARD MATOGOLO CHANANJA KALEMANI (MB) Speeches, News, Events WAZIRI WA NISHATI MHE. DKT. MEDARD MATOGOLO CHANANJA KALEMANI (MB.) AMEWASILISHA BUNGENI LEO, TAREHE 08 MEI, 2020 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2020/21
April 18 Announcements MAPAMBANO DHIDI YA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA COVID-19 VINAVYOSABABISHA HOMA YA MAPAFU Announcements, News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaunga mkono juhudi za Serikali za kuchukua tahadhari dhidi ya kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona. Tunawaomba wadau wetu wote kushiriki pamoja katika mapambano haya.
January 28 Tenders EOI - CONSULTANCY SERVICES FOR DESIGN OF REA OFFICE BUILDING Announcements, Business The Rural Energy Agency invites eligible consulting firms to express interests in provision of services for conceptual design, detailed design, preparation of bidding documents and supervision for construction of REA Office Building at Block AC, Plot No. 94 – Medeli – Dodoma.