August 10 Announcements REA YAIBUKA NA USHINDI MAONESHO YA NANENANE MWAKA 2020 MKOANI SIMIYU Announcements, News, Events Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeibuka na ushindi wa pili katika kundi la Wakala wa Serikali katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu.
August 9 Announcements MWENYEKITI WA BODI YA NISHATI VIJIJINI ATOA WITO KUHUSU ULINZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME VIJIJINI Announcements, News, Events Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa vijiji kulinda miundombinu ya usambazaji wa umeme katika vijiji vyao ili kuepusha hasara ambayo Serikali inapata kutokana na uharibifu wa miundombinu hiyo.
May 29 Reports ENERGY ACCESS AND USE SITUATION SURVEY IN TANZANIA MAINLAND – APRIL 2020 Reports Energy Access and Use Situation Second Survey 2019/20 has been conducted by the Ministry of Energy through Rural Energy Agency (REA). It provides statistical information on the access and use of energy situation in Tanzania Mainland.
May 8 Speeches HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI MHE. DKT. MEDARD MATOGOLO CHANANJA KALEMANI (MB) Speeches, News, Events WAZIRI WA NISHATI MHE. DKT. MEDARD MATOGOLO CHANANJA KALEMANI (MB.) AMEWASILISHA BUNGENI LEO, TAREHE 08 MEI, 2020 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2020/21
April 18 Announcements MAPAMBANO DHIDI YA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA COVID-19 VINAVYOSABABISHA HOMA YA MAPAFU Announcements, News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaunga mkono juhudi za Serikali za kuchukua tahadhari dhidi ya kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona. Tunawaomba wadau wetu wote kushiriki pamoja katika mapambano haya.
January 28 Tenders EOI - CONSULTANCY SERVICES FOR DESIGN OF REA OFFICE BUILDING Announcements, Business The Rural Energy Agency invites eligible consulting firms to express interests in provision of services for conceptual design, detailed design, preparation of bidding documents and supervision for construction of REA Office Building at Block AC, Plot No. 94 – Medeli – Dodoma.
January 3 Tenders REA's Environmental and Social Procedural Manual (ESPM) Announcements, Business This REA's Environmental and Social Procedural Manual (ESPM) provides the procedures for integrating environmental and social considerations into the planning process and implementation of rural energy projects and programmes.
November 27 Press Releases TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME TANZANIA BARA KWA MWAKA 2019-2020 Announcements, Announcements Press Releases Serikali inafanya Utafiti wa Hali ya Upatikanaji na Matumizi ya Umeme Tanzania Bara kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics) Mwaka 2019-2020.