Ulifanyika Katika Kijiji cha Kwedizinga, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga
8/15/2016
Lengo kuu la Mradi wa TREEP ni kuongeza upatikanaji wa umeme vijijini kwa kuongeza miundombinu ya usambazaji wa umeme pamoja na miundombinu ya uzalishaji hasa wa nishati jadidifu vijijini.
8/11/2016
Lengo la tovuti hiyo ni kutoa taarifa ambazo zitawawezesha waendelezaji wa miradi ya nishati bora vijijini, wawekezaji mbalimbali pamoja na wadau wengine kupata taarifa sahihi ambazo zitachangia katika kuongeza wigo wa usambazaji na upatikanaji wa nishati bora vijijini.
Yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Lindi Katika Viwanja vya Ngongo
8/1/2016 - 8/8/2016
Katika maonesho hayo, Wakala ulipata fursa ya kuelezea mpango wake wa kusambaza umeme vijijini na kuonesha picha za wanufaika wa miradi ya REA katika mikoa ya Lindi na Mtwara pamoja na mikoa mingine (video documentary) na kusikiliza kero na maoni ya wananchi kuhusu miradi ya kusambaza nishati bora vijijini.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Awamu ya Tatu wa kusambaza nishati vijijini utakaojumuisha vijiji 7,873 katika wilaya na mikoa yote ya Tanzania Bara ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kuanzia Mwaka wa fedha 2016/17.
The Rural Energy Agency invites interested applicants to apply for pre-qualification for Supply and Installation of Medium and Low Voltage Lines, Distribution Transformers and Connection of Customers in Un-electrified Rural areas of Mainland Tanzania on Turnkey Basis - Turnkey Phase III Projects.
The Rural Energy Agency is now issuing the General Procurement Notice in accordance with the requirements of Public Procurement Act 2011 and its Regulations, 2013 to inform Bidders, Suppliers, Service Providers and General Public on tender opportunities during Financial Year 2016/2017.
The Government of Tanzania (GoT) through Rural Energy Agency and co-funding from the Swedish International Development Cooperation Agency and Norwegian Agency for Development Cooperation intends to implement Villages Electrification Initiative along the Backbone Transmission Investment Project.
Expression of Interest Tender No. AE/008/2015 – 16/HQ/C/53: Provision of Engineering Assessment Studies for SPPs and Tender No. AE/008/2015-16/HQ/C/50: Design and Supervision of Construction of Fence at Plot No. 359 and 358, Block No.7 Located at Ukuni – Bagamoyo District.