Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
REA Yaanza Kusambaza Umeme Vitongoji Morogoro
News

REA Yaanza Kusambaza Umeme Vitongoji Morogoro

Serikali kupitia Wakala  wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza Umeme kwenye Vitongoji 166 vilivyopo Mkoa wa Morogoro baada ya kukamilisha nishati hiyo kwenye Vijiji 652 kati ya 669  sawa na Asilimia 97.5.

Bilioni 15 Kusambaza Umeme Vitongojini Mkoa wa Pwani
News

Bilioni 15 Kusambaza Umeme Vitongojini Mkoa wa Pwani

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi Bilioni 15 kutekeleza Mradi wa Kusambaza umeme kwenye vitongoji 135 Mkoani humo.

Kijiji cha Nziga Kibaoni Wilayani Kilwa Chapata Umeme na Mitungi 231 ya Gesi Yagawiwa Kilwa Kaskazini
News

Kijiji cha Nziga Kibaoni Wilayani Kilwa Chapata Umeme na Mitungi 231 ya Gesi Yagawiwa Kilwa Kaskazini

Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kaskazini Mhe. Francis Kumba  Ndulane amewasha umeme katika kijiji cha Nziga Kibaoni Tarafa ya Njinjo katika Jimbo la Kilwa Kaskazini na amepongeza  Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa namna ambavyo imeendelea kubadili vijiji kufanana na miji na pia  kuweza kuibua fursa mbalimbali za kiuchumi zinazoweza kuwepo kwa kupitia  nishati safi na salama.

Ziara Bodi ya Nishati Vijijini Kigoma
News

REA Yatumia Zaidi ya Bilioni 100 Kutekeleza Miradi ya Umeme Vijijini Kigoma

Ziara Bodi ya Nishati Vijijini Kigoma


Katika kuendelea kuboresha maisha ya wananchi Vijijini, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 100 kutekeleza miradi ya kupeleka umeme vijijini katika Mkoa wa Kigoma.

RSS
1234567
«February 2025»
MonTueWedThuFriSatSun
27
Mkutano wa Nishati Afrika (M300) Kuchochea Maendeleo ya Afrika

Mkutano wa Nishati Afrika (M300) Kuchochea Maendeleo ya Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika - Misheni 300 ni kichocheo cha maendeleo ya nchi za Afrika na kichocheo cha utekelezaji wa Sera yake ya Taifa ya Nishati inayolenga kuendeleza nishati endelevu, uhifadhi na ufanisi.

Read more
2829303112
3456789
1011121314
REA Yaanza Kusambaza Mitungi ya Gesi 13,020 Mkoani Songwe

REA Yaanza Kusambaza Mitungi ya Gesi 13,020 Mkoani Songwe

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na kampuni ya Oryx Gas Tanzania, tarehe 12 Februari, 2025 imeanza rasmi kusambaza mitungi ya gesi ya kilo 6 kwa wakazi wa mkoa wa Songwe na kwa kuanzia Wananchi wa wilaya ya Mbozi wameanza kununua mitungi hiyo kwa nusu bei.

Read more
1516
17181920212223
242526272812
3456789

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top