Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara
News

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na changamoto ya kupata umeme mdogo na wenye kukatika mara kwa mara.

Applications for Financial Assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF)
Announcements

Applications for Financial Assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF)

The Rural Energy Agency (REA) invites applications from Renewable Energy Small Power Producer (SPP) and Mini-Grid Project Developers for financial assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF).  By providing grants to Developers for project feasibility studies and other pre-construction consulting services, the PPSF is designed to support Developers to complete development of projects and achieve financial close.  The PPSF has up to $4 million funding available, with the maximum grant of $250,000 per project.

Attached with are the Grant Application Form; Operating Guidelines; Consultants Database; and  Call For Application for PPSF Round II.

Clarifications and further information may be obtained from the Rural Energy Agency by sending an e-mail to ppsf@rea.go.tz

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023
News

NISHATI YA KUPIKIA NI SEHEMU YA VIPAUMBELE VYA KITAIFA

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023

Mkurugenzi wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Mhandisi, Francis Songela amesema Serikali kupitia REA imetoa kipaumbele kwenye kuongeza matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia na kuongeza kuwa Wananchi wanapaswa kuchangamkia teknolojia mbalimbali kwa kuwa suala hilo lipo kwa ajili ya kulinda afya za Watu, kuboresha maisha yao hususan kwa Wananchi wa vijijini.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati
News

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson atembelea maonesho ya Wiki ya Nishati

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Tulia Ackson akitembelea maonesho ya Wiki ya Nishati, tarehe 30 Mei 2023 katika Viwanja vya Bunge ambapo aliongozwa na mwenyeji wake, Waziri wa Nishati Mhe. January Y. Makamba katika kufahamu utekelezaji wa shughuli za Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha unaokwisha (2022/23) na Mipango iliyopo kwa Mwaka wa Fedha unaoanza (2023/24).

Reports

Rural Energy Master Plan - REMP

The Rural Energy Master Plan (REMP) 2022/23 to 2029/30 supports the operationalization of Tanzania's objective for expanding access to modern energy services in rural areas in line with Sustainable Development Goal number 7 and the Government SE4All action Agenda.

RSS
First1617181921232425Last
«May 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
27282930123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
1234567

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top