October 2 Tenders GENERAL PROCUREMENT NOTICE (GPN) FOR 2017/18 FINANCIAL YEAR Announcements, Business The Rural Energy Agency is now issuing the General Procurement Notice to inform Bidders, Suppliers, Service Providers and General Public on tender opportunities during Financial Year 2017/18.
July 18 News UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MKOA WA SIMIYU News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Simiyu, uzinduzi ulifanyika tarehe 14/07/2017 katika kijiji cha Nangale, Kata ya Ndolelezi, Wilaya ya Itilima.
July 17 News UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MKOA WA MWANZA News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Mwanza, uzinduzi ulifanyika tarehe 13/07/2017 katika kijiji cha Nyamatala, Kata ya Ngula, Wilaya ya Kwimba.
July 16 News UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MKOA WA GEITA News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Geita, uzinduzi ulifanyika tarehe 12/07/2017 katika kijiji cha Nyijundu, Kata ya Nyijundu, Wilaya ya Nyang’wale.
July 15 News UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MKOA WA KAGERA News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Kagera, uzinduzi ulifanyika tarehe 11/07/2017 katika kijiji cha Rwabigaga, Kata ya Kamuli, Wilaya ya Kyerwa.
June 26 News UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MKOA WA MANYARA News Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Manyara uliofanyika tarehe 24/06/2017 katika kijiji cha Luxmanda, Kata ya Secheda, Wilaya ya Babati Vijijini.
June 23 News ZIARA YA VIONGOZI WA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA) KATIKA WILAYA YA KILOLO News Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati vijijini (REA), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga aliongoza ujumbe wa viongozi wa Wakala kutembelea Wilaya ya Kilolo, Mkoa wa Iringa ili kutathmini matokeo chanya yaliyotokana na utekelezwaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini.
June 16 News MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KITAIFA YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA , BUTIAMA, MKOA WA MARA News Tarehe 5 Juni 2017, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Ulishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika Kijiji cha Butiama, Mkoa wa Mara. Wakala ulipata fursa ya kuonesha mpango wake wa kusambaza umeme vijijini.