Social Links Search User Login Menu
Tools
Close
Close
Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu Ameteuliwa Kuwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB)
Announcements

Raisi Avunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini REA, Leo Tarehe 25 Septemba 2023

Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu Ameteuliwa Kuwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassam amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), na kumteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi Mpya ya Nishati Vijijini (REB) ambayo inasimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), leo tarehe 25 Septemba 2023.

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati
News

Rais Samia Awaapisha Waziri na Naibu Waziri wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 1, 2023 amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni (Agosti 30, 2023) kushika nyadhifa mbalimbali akiwemo Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu (Uratibu wa Shughuli za Serikali) na Waziri wa Nishati pamoja na Mhe. Judith Kapinga kwa nafasi ya Naibu Waziri wa Nishati.

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara
News

REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na changamoto ya kupata umeme mdogo na wenye kukatika mara kwa mara.

Applications for Financial Assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF)
Announcements

Applications for Financial Assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF)

The Rural Energy Agency (REA) invites applications from Renewable Energy Small Power Producer (SPP) and Mini-Grid Project Developers for financial assistance from the Projects Preparation Support Facility (PPSF).  By providing grants to Developers for project feasibility studies and other pre-construction consulting services, the PPSF is designed to support Developers to complete development of projects and achieve financial close.  The PPSF has up to $4 million funding available, with the maximum grant of $250,000 per project.

Attached with are the Grant Application Form; Operating Guidelines; Consultants Database; and  Call For Application for PPSF Round II.

Clarifications and further information may be obtained from the Rural Energy Agency by sending an e-mail to ppsf@rea.go.tz

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023
News

NISHATI YA KUPIKIA NI SEHEMU YA VIPAUMBELE VYA KITAIFA

MAONESHO YA SABASABA MWAKA 2023

Mkurugenzi wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Mhandisi, Francis Songela amesema Serikali kupitia REA imetoa kipaumbele kwenye kuongeza matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia na kuongeza kuwa Wananchi wanapaswa kuchangamkia teknolojia mbalimbali kwa kuwa suala hilo lipo kwa ajili ya kulinda afya za Watu, kuboresha maisha yao hususan kwa Wananchi wa vijijini.

RSS
First1516171820222324Last
«April 2026»
MonTueWedThuFriSatSun
303112
REA Yatangaza Mafanikio Makubwa Ya Usambazaji Wa Nishati Vijijini

REA Yatangaza Mafanikio Makubwa Ya Usambazaji Wa Nishati Vijijini

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetangaza mafanikio makubwa ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati vijijini, huku ukieleza kuwa vijiji vyote nchini tayari vimefikishiwa umeme na sasa nguvu kubwa imeelekezwa katika vitongoji.

Read more
345
67891011
REA Yawasha Umeme Vitongoji 307 Namtumbo

REA Yawasha Umeme Vitongoji 307 Namtumbo

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewekeza jumla ya shilingi bilioni 12.1 katika miradi ya kupeleka umeme kwenye vitongoji katika wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.

Read more
12
1314151617
REA Yachochea Uwekezaji Mkoa Wa Mwanza – RC Mwanza

REA Yachochea Uwekezaji Mkoa Wa Mwanza – RC Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufikisha umeme katika vijiji pamoja na pembezoni mwa mji hali iliyochochea kuongezeka kwa uwekezaji maeneo ya vijijini.

Read more
1819
2021
Dkt. Mataragio Atembelea Banda la REA

Dkt. Mataragio Atembelea Banda la REA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio  akitazama hali ya usambazaji umeme vitongojini kupitia Mfumo maalum wa Mawasiliano uliyobuniwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwaajili ya kuonyesha hali ya usambazaji umeme na mipango iliyopo maarufu kama REA Digital Platform alipotembelea Banda la REA

Read more
22
Vitongoji Vyote Tanzania Bara Kuwa Na Umeme Ifikapo Mwaka 2030- Waziri Ndejembi

Vitongoji Vyote Tanzania Bara Kuwa Na Umeme Ifikapo Mwaka 2030- Waziri Ndejembi

Serikali imedhamiria kuhakikisha vitongoji vyote 64,359 vya Tanzania Bara vinafikishiwa umeme ifikapo mwaka 2030 ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii vitongojini pamoja na utoaji wa huduma bora katika maeneo hayo.

Read more
23242526
27282930123
45678910

Archive

Contact Us

E-Mail
General Information:  info@rea.go.tz
Director General:  dg@rea.go.tz
Procurement (PMU):  pmu@rea.go.tz
Webmaster:  webmaster@rea.go.tz

Mailing Address

Director General
Rural Energy Agency - REA
REA Building
28 Medeli Street
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania

Phone & Fax

Tel: +255 26 2323504, +255 26 2323506
+255 26 2323507
Fax: +255 26 2323507

Time Zone

Please note that we are based in Tanzania, Time zone (GMT+03:00). Although we may not be in office at times convenient for all international enquiries, we do monitor our e-mail outside normal office hours.

Back To Top