Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati vijijini (REA), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga aliongoza ujumbe wa viongozi wa Wakala kutembelea Wilaya ya Kilolo, Mkoa wa Iringa ili kutathmini matokeo chanya yaliyotokana na utekelezwaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini.
Tarehe 5 Juni 2017, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Ulishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika Kijiji cha Butiama, Mkoa wa Mara. Wakala ulipata fursa ya kuonesha mpango wake wa kusambaza umeme vijijini.
MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI / RURAL ELECTRIFICATION PROJECTS
Wakandarasi ambao hawajakamilisha wajibu wao hawataruhusiwa kushiriki katika zabuni zitakazotangazwa na Wakala.
Contractors who have not fulfilled their obligations will not be allowed to participate in the forthcoming tenders to be advertised by the Agency.
The Rural Energy Agency (REA) invites sealed bids from eligible suppliers registered as Class Three Solar Contractor or above for Supply of Solar PV Systems for Practical Training to Artisans and Technicians in Mara, Simiyu, and Tabora Regions.
INVITATION FOR EXPRESSION OF INTEREST
United Republic of Tanzania has received grant from the European Union (EU) to supervise construction of 220/33 kV substation at Ifakara and 70km of distribution power lines in Kilombero and Ulanga Districts - Morogoro region.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatoa ufafanuzi kuhusu habari iliyochapishwa katika gazeti la Jamhuri Toleo Na. 295 la tarehe 23 – 29 Mei, 2017 yenye kichwa cha habari “ Waziri apiga dili” ununuzi wa zabuni ya wakandarasi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwamba ulizingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 (kama ilivyofanyiwa marekebisho Mwaka 2016) pamoja na kanuni zake.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umekamilisha taratibu za zabuni kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (Turnkey III) na unawajulisha Wakandarasi walioshinda kwamba hatua inayofuata ni kupewa barua za tuzo (Award Letters) na kusaini mikataba.
Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), Waziri wa Nishati na Madini, amemteua Mwenyekiti na Wajumbe Wapya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kutokana na Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu Nambari 5(1) (b) Nambari 8(3) cha Sheria ya Nishati Vijijini ya Mwaka 2005.