Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umezindua utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu katika Mkoa wa Tanga uliofanyika tarehe 06/03/2017 katika kijiji cha Zingibari Wilaya ya Mkinga.
Wakala wa Nishati Vijiji (REA), kwa kipindi cha robo ya mwisho (Aprili – Juni) ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 umepanga kutoa mafunzo kwa mafundi na waendelezaji wa vyanzo vya umeme unaozalishwa kutokana na raslimali za nishati jadidifu katika kila mkoa Tanzania Bara.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeanza utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Awamu ya Tatu utakaojumuisha vijiji 7,873 katika wilaya na mikoa yote ya Tanzania Bara. Kati ya vijiji hivyo, vijiji 7,697 vitapelekewa umeme wa gridi na vijiji 176 umeme wa nje ya gridi (off-grid).
The United Republic of Tanzania has received a grant from the Sustainable Energy Fund for Africa (SEFA) administrated by the African Development Bank to finance the establishment of the Renewable Energy Investment Facility.
The Rural Energy Board, at its Board Meeting held on 17th December 2016, and pursuant to Section 25 of the Rural Energy Act, 2005 has appointed Eng. Boniface Gissima Nyamo-Hanga to the position of the Director General of the Rural Energy Agency (REA) and Chief Executive Officer of the Rural Energy Fund (REF).
The Rural Energy Agency (REA) invites sealed bids from eligible suppliers to Supply Eight Sets of Verification Equipment for Solar Market Services Packages.
The Rural Energy Agency invites eligible “individual consultants” to indicate their interest in carrying out the assignments for provision of various individual consulting services.
The Rural Energy Agency now invites eligible consulting firms to express interests in providing the Technical Assistance (TA) to implement “off-grid” renewable energy (RE) rural electrification programs.